Wednesday, December 19, 2012


DIAMOND PLATNUMZ ATAENDELEA KUPETA SANA!!!!

Pamoja na viskendo vya hapa na pale , the hitmaker wa mawazo na kamwambie, Diamond Platnumz ameachia mkwaju mpya unaokwenda kwa jina la kesho. Video queen kwenye video hiyo Avril, na imefanywa Ogopa DJz kutoka Area Coded 254 kwa Kibaki. vipi na Huyo Avril sasa ndo mpyaaa, ama?

Thursday, August 9, 2012

PREZZO ashinda zaidi ya KEAGAN!!

Icon anayefanya pouwa kunako game la muziki Afrika Mashariki, Prezzo 32, aakuwa akipata kikubwa kuliko hata Keagan ambaye ndiye mshindi wa BigBrother StarGame kwa kuweka kimyani kitita cha dollari za kimarekani 300,000/=, kwani Prezzo atakuwa akiweka kitita cha dollari za kimarekani 720,000/= kwa mwaka na hii ni baada ya kuingi mkataba na kampuni ya ONE kama balozi.
Prezzo atakuwa akilipiwa fedha kwa ajili ya burudani, malazi, usafiri na mshahara.
Source: The Kenyan Daily Post